Mchezaji Cristiano Ronaldo Afikiria Kuondoka Manchester United..Kisa na Mkasa Huu Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka Manchester United ikiwa timu hiyo haitafanya usajili mzuri katika dirisha la sasa


Ronaldo ambaye alirejea klabuni hapo mwaka 2021 baada ya kuondoka miaka 13 iliyopita kwenda Real Madrid yupo tayari kubaki ikiwa usajili kwa ajili ya msimu ujao utakuwa mzuri


Aidha, Bayern Munich ambao wanahusishwa kutaka kumsajili wamesema hawana mpango na Ronaldo ambaye msimu uliopita alifunga mabao 24 katika mechi 38

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad