AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema haiwezekani kuacha kukopa kwa kuogopa deni kuwa kubwa, mikopo ya Serikali ni kwa ajili ya Maendeleo ya Miradi mikubwa ya Nchi na siyo ya kulipia Mishahara au Matumizi ya kawaida
Amesema Deni la Serikali kwa sasa uwiano wake na Pato la Taifa ni 31% wakati ukomo ni 55%, Deni la Nje kwa Uwiano wa Pato la Taifa ni 18% wakati ukomo wake ni 40%, Deni la Nje kwa mauziano ya nje ni 142% ukomo ni 180%
Waziri ameongeza "Tunafurahia 4G na 5G lakini Mkongo wetu wa Taifa ni deni, miradi ya aina hiyo ni mingi. Mradi ukishakopewa hauwezi kusimama, fedha zinapoingia ndivyo deni linavyokua. Mfano kuna madeni nimesaini yalipwe ambayo yalikopwa kabla sijazaliwa"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK