Shilole "Nina Waganga 12 Kwa Ajili ya Kuhakikisha Nina Pata Mtoto"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kwa mwanamuziki na mjasiriamali Shilole amewaka wazi kuwa amekua akitamani kupata mtoto na mume wake Rommy kiasi cha kuwa na jumla ya waganga 12 kwa ajili ya kumsaidia kupata mtoto.

Shishi amesema hayo wakati akijibu swali la mtangazaji wa Wasafi media kwenye kipindi cha The Switch aliyetaka kujua ni lini atapata mtoto katika ndoa yake na mume wake rommy3d.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Shilole amjue Mungu aitwaye NIKO AMBAYE NIKO. kwa jina jingine JEHOVAH, ndipo mema yatakapo mujia ikiwamo na mtoto

    ReplyDelete

Top Post Ad