AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea wa kiti cha urais nchini Kenya William Ruto, anaewania kiti hicho chini ya Muungano unaofahamika kama Kenya Kwanza, ametoa ahadi ya kukuza uchumi, na kuahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na wazawa.
Ruto amesema Iwapo atapenya katika uchaguzi mkuu amabao, unatarajiwa kufanyika Agosti 9 mwaka huu, amesema wapo wachina wanaofanya biashara ya mahindi ya kuchoma na simu mtaani nchini Kenya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK