Zuchu "Hakuna Uwekezaji wa Mziki Tanzania Wengi Wenye Vipaji Wako nje ya Tasnia"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji nyota toka WCB, msanii @officialzuchu ametoa ya moyoni kufuatia namna tasnia ya muziki ilivyo hapa nchini kwa kipindi kirefu na wengi wamekuwa wa hanga kwenye hilo, amebainisha kuwa hakuna uwekezaji wa kutosha katika muziki huku wengi wenye vipaji wako nje ya tasnia yenyewe.


"Ninaamini kuna wasanii wengi wako nje ya tasnia ya muziki wana vipaji kuliko walioko ndani na hiyo ni kwasababu hamna uwekezaji wa muziki nchini mwetu". ameeleza Zuchu kwenye #SalamaNa show ya mtangazaji Salama Jabir.


Kwenye mahojiano hayo pia ameeleza namna alivyoshindwa kufua dafu kwenye shindano la kwanza la karaoke barani Afrika la Tecno Own The Stage nchini Nigeria, nakujiona hajui kuimba hadi alipofikia ndoto zake za kutamani kufanya kazi na @diamondplatnumz @babutale @mkubwafellatmk


"Nilishindwa mashindano ya uimbaji nikajiona sijui kuimba. Mama alinipeleka training kwenye band. Nilimwambia kuwa nilikuwa nataka kufanya kazi na Diamond, Tale au Fella." alimalizia Zuchu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad