Aziz Ki Ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi ya Ivory Coast kwa Msimu Uliopita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KIUNGO mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Ivory Coast kwa msimu uliopita wakati akiichezea Asec Mimosas.

Nyota huyo ambaye amejiunga na Yanga msimu huu usajili wake ulikuwa gumzo kutokana na utambulisho wake uliofanyika Julai 15 alfajiri huku akitegemewa kufanya makubwa na mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara kwa sababu ya kiwango chake kizuri ambacho alionyesha.

Mbali na Aziz Ki ila kiungo mpya wa Azam FC, Tape Edinho ameshinda pia tuzo ya kiungo bora wa msimu wakati akiitumikia klabu ya ES Bafing FC ya kwao Ivory Coast.

Katika tuzo hizo za msimu, Edinho alimshinda nyota wenzake wa Azam, Kipre Junior aliyesajiliwa naye msimu huu akitokea Sol FC ya huko huko Ivory Coast sambamba na nyota mwingine, Djire Abdoulaye anayechezea klabu ya Racing Club Abidjan.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad