Clouds Media Watangaza Kurudi Kwa Tamasha la FIESTA Mwaka Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Clouds Media Group imetangaza ujio wa FIESTA 2022 usiku huu kwenye shamrashamra za mwaka mpya wa burudani unaoanza August 1 ambapo FIESTA ya mwaka huu kauli mbiu ni ‘weka maneno’


Mwenyekiti wa Kamati ya FIESTA Sebastian Maganga @sebamaganga ambaye pia ni Mkuu wa Maudhui Clouds Media Group amesema kwa wiki mbili kutoka sasa WanaCloudsnia popote Tanzania watakuwa na nafasi ya kujipakulia minyama yote kwa kuchagua wanaitakaje FIESTA ya mwaka huu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad