AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Clouds Media Group imetangaza ujio wa FIESTA 2022 usiku huu kwenye shamrashamra za mwaka mpya wa burudani unaoanza August 1 ambapo FIESTA ya mwaka huu kauli mbiu ni ‘weka maneno’
Mwenyekiti wa Kamati ya FIESTA Sebastian Maganga @sebamaganga ambaye pia ni Mkuu wa Maudhui Clouds Media Group amesema kwa wiki mbili kutoka sasa WanaCloudsnia popote Tanzania watakuwa na nafasi ya kujipakulia minyama yote kwa kuchagua wanaitakaje FIESTA ya mwaka huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK