Breaking News: Aishi Manula Asaini Mkataba Mpya Kuendelea Kubaki Mitaa ya Msimbazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Aishi Manula amesaini mkataba mpya na Simba SC hadi 2025
GOLIKIPA namba moja wa Klabu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania Aishi Manula ameongeza mkataba mpya wa kuendelea kubaki katika mitaa ya msimbazi kwa muda wa miaka mitatu (3).

Manula ambaye amekuwa kwenye kiwango kizuri kwa zaidi ya miaka minne akiwa na wekundu hao wa msimbazi ataendelea kubakia msimbazi hadi kufikia mwaka 2025 ambapo mkataba wake utamalizika.


Aishi Manula, Golikipa namba moja wa klabu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania
Kulikuwa na fununu za kumhusisha mchezaji huyo kutakiwa na vilabu mbalimbali nje ya nchi kutokana na kuonesha kiwango cha hali ya juu hasa katika michezo ya kimataifa kwa msimu uliopita ambapo klabu yake ya Simba ilifanikiwa kutinga katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad