Dulla Makabila "Kumuomba Diamond Msamaha Najua Majjizo Atakasirika"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Akiongea na wanahabari siku ya jana katika viwanja vya maonyesho ya Sabasaba msanii huyo wa Singeli @dullamakabila ameeleza namna alivyotunga wimbo kwa ajili ya kumuomba @diamondplatnumz msamaha.


“Najua nilimkosea @diamondplatnumz na kabla ya kutoa wimbo niliomba ushauri ili isijekuonekana kama nakifanya naomba msamaha ili nitoe wimbo”


“Najua @majizzo atakasirika ila sina tatizo naye” aliongeza @dullamakabila

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad