Michepuko wa Kike Wanapashwa Kupongezwa...Wanasaidia Ndoa Ziendelee Kudumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Michael mwigizaji wa nchini Ghana anasema michepuko ya kike inapaswa kupongezwa kwa madai kwamba ndio inayosaidia ndoa ziendelee kudumu


Anadai michepuko inafanya kazi ya ziada kumfanyia mwanaume mambo kadhaa wa kadhaa ambayo hayapati kwa mke wake


Ameeleza kwamba wanawake wengi wakishaolewa tu wanajiachia sana na kusahau majukumu yao, pia amesema wake za watu kuna mambo wanasahau au kupuuza kumfanyia mwanaume wakidhani hayana umuhimu ila yanayo umuhimu, mfano kumsifia mume wake, kumfanyia vitu vya kufurahisha n.k


Amesema michepuko huwa inajiongeza sana na hivyo kuchochea ndoa ziendelee kuwepo mume akisharidhika kwa mchepuko anarudi kwa mke ambaye yupo yupo tu hivyo kuendelea kuitwa wanandoa hata kama ni wanandoa hewa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad