AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sakata la mwanamuziki Nandy na Zuchu limeendelea kuchukua picha mpya mara baada ya mwanamitandao Mwijaku kudai kuwa mwanamuziki Nandy alitaka kumlipa kiasi cha million 1 na laki 8' ili tu aweze kupost katika ukurasa wake wa instagram taarifa za kumchafua mwanamuziki kutoka WcB Wasafi Zuchu.
Kupitia kipindi cha Amplifier ya clouds fm' mwijaku amefunguka hilo huku akidai kuwa sauti hizo zilizo sambaa mtandaoni ni kweli ni ya Nandy na alitumiwa mwaka 2021.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK