Mwijaku Atoboa Siri "Nandy Alitakaa Kunilipq 1.8 Milioni Ili Nimchafue Zuchu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sakata la mwanamuziki Nandy na Zuchu limeendelea kuchukua picha mpya mara baada ya mwanamitandao Mwijaku kudai kuwa mwanamuziki Nandy alitaka kumlipa kiasi cha million 1 na laki 8' ili tu aweze kupost katika ukurasa wake wa instagram taarifa za kumchafua mwanamuziki kutoka WcB Wasafi Zuchu.

Kupitia kipindi cha Amplifier ya clouds fm' mwijaku amefunguka hilo huku akidai kuwa sauti hizo zilizo sambaa mtandaoni ni kweli ni ya Nandy na alitumiwa mwaka 2021.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad