Takribani abiria 41 wamenusurika katika ajali ya basi la Happy Nation

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa



Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo la Mkambarani, mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Morogoro, ACP Ralph Meela, chanzo cha ajali hiyo iliyotokea leo ni uzembe wa dereva wa basi aliyeacha njia yake na kulifuata lori hilo.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad