AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uongozi wa Klabu ya Yanga umetoa taarifa kufuatia adhabu iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa Msemaji wake Bw.Haji Manara ambapo umebainisha kuwa umesikitishwa na maamuzi hayo na kwamba Klabu hiyo inaamini kuwa Bw.Manara hakutendewa haki kwani adhabu hiyo ya kufungiwa miaka miwili na faini ya Tsh. Mil. 20,000,000/= ni kubwa.
.
Hivyo, Klabu hiyo imesema inamuunga mkono Bw.Haji Manara katika kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi vya kimamlaka.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK