Afande Sele awavaa wanaomsema vibaya bondia Mandonga, ‘Ipo siku mtu atachezea, atakufa jukwaani’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya kuwepo kwa maneno mengi hususani kwa wakazi wa Morogoro kuhusu Bondia Kareem Mandonga wakisema anaudharaulisha Mkoa kutokana na rekodi yake kupoteza Mapambano mawili mfululizo.
Ayo TV  na MillardAyo .com imefunga Safari hadi nyumbani kwa Afande Sele Mtaa wa Modeko  Manispaa ya Morogoro ambapo ameufunguka kuhusu Kareem Mandonga huku akiwataka watu waache kumsema vibaya mitandaoni licha bondia huyo kupoteza mapambano kadhaa hizi karibuni.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad