AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa uzoefu wangu huu penzi la kweli halipatikani kwa kuhonga bali kuridhiana na kupendana.
Utakuta Mwanaume anajisifia yule demu kaoza kwangu achomoi kitu, kumbe ana actiwa kupendwa sababu anahonga sana, bila hivyo asinge ona hata kufuli kuacha tu kuivua ha ha ha
Usijidanganye wala kujipotezea muda na pesa zako kuhonga kutafuta penzi la dhati utajuta bure, utaishia kuchunwa zikiisha tu unaachwa anatafutwa mwingine
Karibuni wadau kuongezea elimu au kuniweka sawa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK