AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Za chini ya kapeti zimefikishwa Dawatini! Inaelezwa Msanii @rayvanny anatakiwa kulipa kiasi cha Tsh Million 50 kisa kutokea kwenye Jukwaa la #NandyFestival2022 la Msanii @officialnandy lililofanyika Mkoani Songea.
Inaelezwa yamekuja hayo baada ya @rayvanny kufanya show hiyo ikiwa bado hajafikia makubaliano ya kumalizana kikamilifu na record label ambayo ilikuwa ikimsimamia ya WCB Wasafi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK