AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa matokeo ambayo yametangazwa hadi kufikia Agosti 12, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amepata Wabunge 134 ambapo 88 wanatoka Chama chake cha ODM
Kwa upande wa Naibu Rais, William Ruto wa United Democratic Alliance (UDA), amekusanya viti 101 vya Wabunge
Atakayeshinda Urais bila kudhibiti Bunge linaloundwa na Bunge la Kitaifa na Seneti, anaweza kuwa kwenye wakati mgumu wakati wa kupitisha Sheria na Bajeti.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK