AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BONDIA Mtanzania Twaha Kiduku ameshinda ubingwa wa UBO Intercontinental baada ya kumtwanga mpinzani wake Abdo Khaled, raia wa Misri, katika pambano la raundi 10 lilifanyika mkoani Mtwara.
Twaha Kiduku ameshinda kwa pointi za majaji wote watatu na kuendelea kuwa na mikanda yote miwili ya UBO waliokuwa wakiipigania.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK