AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF limetoa Orodha ya makocha wenye CAF A Diploma likiwemo jina la Kocha mpya wa Simba Juma Mgunda ambaye ametikisa mitandao ya kijamii kwa kuhofiwa kuwa hana levo hiyo ya ukocha na hivyo kuzua hofu kwa mashabiki wa soka juu ya hatma yake ya kuisimamia Simba kwenye michezo ya Kimataifa.
TFF imemtaja Juma Mgunda kama Kocha mwenye CAF A Diploma ya ukocha huku Shirikisho hilo ikiwataja na wengine na hivyo kumaliza utata.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK