Licha ya Kudundwa Bondia Hassan Mwakinyo Apanda Viwango vya Ngumi Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Licha ya kupigwa kwa Technical Knock Out (TKO), Hassan Mwakinyo amepanda kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora wa ngumi za kulipwa vya dunia.

Kwa mujibu wa mtandao wa ngumi wa dunia (Boxrec), Mwakinyo sasa ni bondia wa 38 kati ya 1,953 duniani kwenye uzani wa super welter akipanda kwa nafasi mbili kutoka ya 40 aliyokuwa awali kabla ya pambano na Liam Smith.

Mwakinyo alizichapa na Smith Septemba 3 nchini Uingereza na kupigwa kwa TKO ya raundi ya nne, kabla ya Boxrec kumtaja kupanda kwenye ubora kwa nafasi mbili, akibebwa na nyota tatu na nusu na pointi anazomiliki kwa sasa katika ubora huo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad