Mke Mpya wa Manara Avunja Ukimya "Sijafata Pesa ni Kweli Nina Mtoto na Producer wa Ali Kiba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.

Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.

Katika Hatua Nyingine kipusa huyo Mpya wa Manara Amekubali Kuwa ni Kweli Alikuwa Mpenzi wa Yogo ambae ni producer wa Ali Kiba na Wana Mtoto Mmoja wa Miaka miwili, Amesema uhusiano wake na Yogo ulivunjika muda mrefu Takribani Miezi 11 Iliyopita.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad