Mzee wa zaidi ya miaka 70 akutwa akilawiti mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mzee Jackson Lukondo mwenye umri wa zaidi ya miaka 70 anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kukutwa kichakani akimlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe mwenye umri wa miaka 14 na kisha kumtishia kuwa atamuua pindi atakaposema kama analawitiwa.

Mzee Jackson Lukondo mwenye umri wa zaidi ya miaka 70 anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kukutwa kichakani akimlawiti mwanafunzi wa kiume wa shule ya msingi Masawe mwenye umri wa miaka 14 na kisha kumtishia kuwa atamuua pindi atakaposema kama analawitiwa. Akizungumza na EATV mtoto huyo amesema mzee huyo amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa kisha anamuingilia kinyume na maumbile hadi mara hii alipokutwa kichakani na mashuhuda.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad