AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndege ya Shirika la Ndege la West Atlantic ilipitiliza njia jana wakati ikijaribu kutua katika uwanja wa Ndege wa Montpellier nchini Ufaransa, na hatimaye kusimama pembeni mwa Ziwa.
Ndege hiyo ya mizigo aina ya Boeing 737 ilikuwa na watu watatu na wote waliokolewa na kutoka bila majeraha.
Uchunguzi kuhusiana na ajali hiyo unaendelea, huku mamlaka ya anga nchini humo ikitangaza kufungwa kwa uwanja huo kwa muda usiojulikana mpaka hapo Ndege hiyo itakapoondolewa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK