Apoteza Kipini Cha Puani, Baada ya Miaka Mitano Chakutwa Kwenye Mapafu yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jamaa huyo wa nchini Marekani kwa jina la Joey Lykins(35) alilala alipoamka akawa hakioni kipini chake cha pua. Alihangaika kukitafuta kwa udi na uvumba bila mafanikio lakini miaka mitano baadaye kimekuja kuonekana katika mapafu yake

Alianza kukohoa mfululizo huku akipata maumivu makali nyuma ya mgongo ilibidi akimbizwe hospitali ambapo awali daktari alidhani labda ni dalili za pneumonia lakini baada ya kupigwa x-ray picha ikaonesha ana kipini hicho cha pua ambapo alipooneshwa na daktari na kuulizwa kama anakumbukumbu zozote kuhusu kitu kama hicho akashangaa

Ndio akakumbuka miaka mitano iliyopita alipopoteza kipini chake baada ya kuamka akawa hakioni licha ya kukitafuta huku na huko

Kwa bahati kipini hicho hakikupasua mapafu yake na ameweza kufanyiwa sajari kukiondoa ambapo sasa yupo vizuri ingawa hata yeye haamini ilikuwajekuwaje kikaingia mapafuni
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad