Taarifa kutoka Dawasa kuhusu kukosekana kwa Maji Septemba 23, maeneo yatakayoathirika yatajwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imetoa taarifa ya kuzimwa kwa mtambo wa kuzalisha Maji, Ruvu chini ljumaa September 23,2022, kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 usiku ili kuruhusu matengenezo ya Bomba Kuu maeneo ya Mlalakuwa na Mwenge.


Maeneo yatakayoathirika ni pamoja na Bagamoyo, Zinga, Kerege, Mapinga, Mabwepande, Bunju, Tegeta,Mbweni, Boko, Salasala, Goba, Mivumoni, Kawe, Lugalo, Makongo, Chuo Kikuu, Mwenge, Kijitonyama, Mikocheni, Msasani, Oysterbay, Masaaki, Mwananyamala, Kinondoni, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Magomeni, Kigogo, Chang’ombe, Keko, Kurasini, Kigamboni, Airport, Kiwalani, Buguruni, Kigamboni, Vingunguti, Ilala na Katikati ya Mji.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad