AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imetoa taarifa ya kuzimwa kwa mtambo wa kuzalisha Maji, Ruvu chini ljumaa September 23,2022, kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 usiku ili kuruhusu matengenezo ya Bomba Kuu maeneo ya Mlalakuwa na Mwenge.
Maeneo yatakayoathirika ni pamoja na Bagamoyo, Zinga, Kerege, Mapinga, Mabwepande, Bunju, Tegeta,Mbweni, Boko, Salasala, Goba, Mivumoni, Kawe, Lugalo, Makongo, Chuo Kikuu, Mwenge, Kijitonyama, Mikocheni, Msasani, Oysterbay, Masaaki, Mwananyamala, Kinondoni, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Magomeni, Kigogo, Chang’ombe, Keko, Kurasini, Kigamboni, Airport, Kiwalani, Buguruni, Kigamboni, Vingunguti, Ilala na Katikati ya Mji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK