AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Azam FC imekwea hadi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuondoka na alama 3 katika mchezo dhidi a vijana wa Liti, Singida Big Stars uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Katika mchezo huo wa kuvutia uliokuwa na ushindani mkali, goli pekee na la ushindi limefungwa na Sospeter Bajana kunako dakika za lala salama katika kipindi cha kwanza.
Kwa kipigo hicho, Singida BS wanabaki kwenye nafasi ya 6 wakiwa na alama 8 kibindoni ikiwa na mchezo mmoja mkononi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK