Habari Mbaya Kwa Wale Madereva Wanaondeshea Gia ya Neutral Kusave Mafuta...Kumbe Mnaua Injini ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


ZINGATIA HAYA KWA WENYE MAGARI YA ‘AUTOMATIC’

Usiweke ‘Neutral’ mteremkoni, hii inazuia Oil kusambaa na kusababisha msuguano kwa kukosa kilainishi hicho na kupelekea kusagika kwa baadhi ya sehemu. Usiwashe gari na kuanza kuvuta mafuta hii husababisha msuguano mkali na unaweza kuharibu sehemu za Injini

Usiweke ‘Neutral’ unapokuwa kwenye taa za barabarani, watu wengi hufanya hivyo ili kuhifadhi mafuta lakini kiasi unachohifadhi ni kidogo sana kulinganisha na gharama ya tatizo unaloweza tengeneza

Usiweke ‘Parking’ kabla gari halijasimama kabisa. Hakikisha gari limesimama kabisa ndipo unaweka ‘Parking’. Usiendeshe gari kwa kasi kabla Injini kupata joto, hakikisha injini imepata joto ili kuwezesha ‘Oil’ kusambaa kwenye sehemu zote

Kuacha mafuta machache kwenye ‘Tank’ unapolipumzisha gari lako, ‘Tank’ la mafuta linatakiwa kuwa limejaa au kuwa nusu lakini sio chini kabisa. Kujaza mafuta kunasaidia injini na sehemu nyingine kupoa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad