"Ngumu Mwanaume Kuwa na Mke Mmoja" - Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni ujumbe wa Haji Manara baada ya kuoa mke wake wa tano Rushayna kwenye maisha yake ya ndoaa akieleza kwamba mwanaume ni ngumu kuwa na mke mmoja. 

"Kwa sisi wapenzi wa Mtume kuwa na Mke Mmoja kama Mama Mzazi ni kitu kigumu mno, sisemi lakini ni naniliu flani hivi".

"Unajitia una mke mmoja huku una michepuko mitano au huna mke hata wa kulumagia kisha unalaumu wenye wake wengi wa halali, mtuache bhana tule raha" - Haji Manara 

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad