Yaliyotabiriwa Yatimia Penzi la Diamond na Zuchu, Babu Tale Atoa Tamko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, Diamond Platnumz

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye ni mmiliki wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye hatimaye yale yaliyotabiriwa kuwa hawezi kumuoa msanii wake, Zuchu, yametimia.

 

Ikumbukwe kuwa, kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa, Diamond na Zuchu ni wapenzi kutokana na ishara za mahaba wanazozionesha, lakini jamaa huyp amesema kwamba, hawezi kumuoa mrembo huyo kwa sababu ni msanii wake.

 

Kauli ya Diamond au Mondi inakuja baada ya mmoja wa mameneja wake, Babu Tale kumwambia aoe kufuatia kuposti video akibusiana mdomoni na Zuchu.



“Sasa nitamuoaje wakati ni msanii wangu bosi, hilo busu hapo lisiwatishe viongozi, ni salamu tu za Kijerumani,” amesema Diamond.

 

Kama utakumbuka, Diamond na Zuchu ambao wametoa pamoja ngoma tatu, Litawachoma, Cheche na Mtasubiri, wamekuwa wakidaiwa kuwa ni wapenzi, lakini sasa ni wazi kuwa hakuna jambo kama hilo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad