Baraka the Prince Akamatwa na Polisi Uzinduzi wa Album ya Rosa Ree

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva @barakahtheprince_ adaiwa kukamatwa na Polisi Usiku wa Kuamkia leo katika Uzinduzi wa Album mpya ya @rosa_ree kwa kosa la Kumpiga Mwandishi wa Habari kutoka kituo cha Habari cha #EATV.

Inasemekana @barakahtheprince_ amelazwa Kituo cha Polisi kwa kosa la kumshambulia Mwanahabari kutoka #EATV baada ya Kumuomba kufanya nae Mahojiano ndio #Baraka akamvuta Pembeni na Kumshambulia.
.
.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad