Yanga Wabaya Sana, Waichapa Mbeya City ikiandika rekodi mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MATOKEO ya leo Yanga ikiichapa Mbeya City mabao 2-0 inafikisha mechi 49 bila kupoteza mchezo wowote kwenye ligi pia inazidi kujiimarisha kukaa kileleni, ikifikisha pointi 32, katika mechi 12 iliyozocheza.
Ukiachana na kichapo cha leo ilichopata Mbeya City, mara ya mwisho kuifunga Yanga ilikuwa Novemba 2, 2016 Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Wakati matokeo ya misimu miwili iliyopita, Mbeya City 1-1 Yanga (Juni 25,2021/ 22),Yanga 0-0 Mbeya City (Februari 5,2021/22),Yanga 1-0 Mbeya City (Septemba 13, 2020/21),Mbeya City 1-1 Yanga (Februari 13, 2020/21).

Hata hivyo matokeo hayo kwa Mbeya City, yataifanya kushuka nafasi za chini, kwani katika mechi 13 ilizocheza imeshinda nne, sare sita, imefungwa mitatu inamiliki mabao 18 imetikiswa mara 16 na pointi 18.

Mayele amefunga mabao saba katika michezo mitatu ya ligi akianza na hat-trick dhidi ya Singida BS, mawili dhidi ya Dodoma Jijj na leo dhidi ya Mbeya City.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad