AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kufuatia mahojiano ya mshambuliaji nyota wa klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo na mtangazaji nguli wa gazeti la The Sun, Uingereza, Piers Morgan ambayo yameibua hisia mseto, klabu ya Man United inatajwa kumpiga faini nyota wake huyo.
Mahojiano hayo ambayo yanatajwa yatatoka rasmi kuanzia kesho, sasa tovuti mbalimbali Uingereza ikiwemo ya Metro imeripoti kuwa Cristiano Ronaldo atakumbwa na faini ya £1m ambayo ni sawa na Bilioni 2.7 za Kitanzania.
Fahamu, kwenye sehemu ya mahojiano hayo, Ronaldo ameeleza mengi ikiwemo kuhisi kusalitiwa kwenye klabu, na kueleza baadhi ya watu ndani ya klabu hiyo kutomuhitaji.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK