AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) Bw. Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa 9 wakiongozea na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye jumla ya Kilo 34.89.
#DCEAPress
#CloudsDigitalUpdates
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK