Qatar Wametisha Sana Kumleta Gwiji Morgan Freeman Kwenye Uzinduzi Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Walichofaulu Qatar moja wapo ni kumtumia Gwiji Morgan Freeman kwenye sherehe za ufunguzi, ambapo wengi hawakutarajia na alikuja kufanya makubwa sana huku akionesha ukongwe wake akiwa amemeza script nzima kichwani mwake.

Ukijumlisha na sound system kali pamoja na flow yake nzima ndicho kilichovutia watu wengi zaidi, kwasasa tunasubiri reaction ya Wamarekani na Magharibi ambao wengi wamekuwa wakichukizwa na watu maarufu wanaoungana na Qatar kwenye sherehe hizo.

Mfano England wengi wamechukizwa na uhusika wa David Beckham kama moja ya sura za kombe hilo la dunia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad