AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Walichofaulu Qatar moja wapo ni kumtumia Gwiji Morgan Freeman kwenye sherehe za ufunguzi, ambapo wengi hawakutarajia na alikuja kufanya makubwa sana huku akionesha ukongwe wake akiwa amemeza script nzima kichwani mwake.
Ukijumlisha na sound system kali pamoja na flow yake nzima ndicho kilichovutia watu wengi zaidi, kwasasa tunasubiri reaction ya Wamarekani na Magharibi ambao wengi wamekuwa wakichukizwa na watu maarufu wanaoungana na Qatar kwenye sherehe hizo.
Mfano England wengi wamechukizwa na uhusika wa David Beckham kama moja ya sura za kombe hilo la dunia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK