Saraphina "Sijawahi Kusainiwa na Harmonize Konde Gand"

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Msanii @phina__tz Ametolea Ufafanuzi Zile Story Za Kuhusishwa Na Kusainiwa Katika Label Ya #KondeGang Ya Msanii @harmonize_tz Ambapo Ameeleza Kuwa Hakuna Ukweli Wowote Kuhusiana Na Hilo Na Kuongeza Kuwa Yeye Yupo Sawa Bila Kuwa Chini Ya Label Yoyote

Kupitia Wasafi Fm #PHINA Amesema..........''Kuhusu Kusainiwa #KondeGang Sio Kweli Sijawahi Kusainiwa Wala Kutaka Kusainiwa Na #KondeGang Hajiwahi Kutokea Kabisa, #HARMONIZE Tumewahi Kuwasiliana Yes Kwasababu Kipindi Imetoka #UpoNyonyo Yeye Na #KAJALA Walikuwa Wananisapoti Sana Muziki Wangu So Tukawa Na Project Tunafanyia Kazi''

"So Nafkiri Labda Uo Ukaribu Wakati Nina Project Na #HARMONIZE Nafkiri Watu Wengi Wametafsiri Tofauti, Ujue Watu Wana Matamanio Yao Huku Nje Wanatamani Kwasababu #PHINA Ni Msanii Ambaye Hayupo Kwenye Label Yoyote Si Angeingia Na Yeye Kwenye Label Mambo Yabadilike Kidogo Lakini Mimi Niko Sawa''
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad