Saraphina "Sijawahi Kusainiwa na Harmonize Konde Gand"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii @phina__tz Ametolea Ufafanuzi Zile Story Za Kuhusishwa Na Kusainiwa Katika Label Ya #KondeGang Ya Msanii @harmonize_tz Ambapo Ameeleza Kuwa Hakuna Ukweli Wowote Kuhusiana Na Hilo Na Kuongeza Kuwa Yeye Yupo Sawa Bila Kuwa Chini Ya Label Yoyote

Kupitia Wasafi Fm #PHINA Amesema..........''Kuhusu Kusainiwa #KondeGang Sio Kweli Sijawahi Kusainiwa Wala Kutaka Kusainiwa Na #KondeGang Hajiwahi Kutokea Kabisa, #HARMONIZE Tumewahi Kuwasiliana Yes Kwasababu Kipindi Imetoka #UpoNyonyo Yeye Na #KAJALA Walikuwa Wananisapoti Sana Muziki Wangu So Tukawa Na Project Tunafanyia Kazi''

"So Nafkiri Labda Uo Ukaribu Wakati Nina Project Na #HARMONIZE Nafkiri Watu Wengi Wametafsiri Tofauti, Ujue Watu Wana Matamanio Yao Huku Nje Wanatamani Kwasababu #PHINA Ni Msanii Ambaye Hayupo Kwenye Label Yoyote Si Angeingia Na Yeye Kwenye Label Mambo Yabadilike Kidogo Lakini Mimi Niko Sawa''
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad