AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Feisal Salum ana eneo lake ndani ya uwanja ambalo analimudu vyema, anafunga sana akitumika kama 10, ni bora sana akicheza nyuma ya Mshambuliaji lakini bahati mbaya sana hapewi sana nafasi ya kucheza eneo lile na anaeyepewa ana mabao mawilk tu kwenye ligi na moja ni la set piece.
Mpeni Feisal eneo lake, atawasaidia sana na ndie mwenye mabao mengi zaidi kikosini kwenye ligi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK