Serikali Yakiri Kununua Vichwa Viwili USED kwa Ajili ya Treni za SGR

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli (TRC), Masanja Kadogosa wakati wa Utaji Saini wa Mkataba wa Ujenzi wa kipande kingine cha Reli ya SGR LOT 6 kati ya Tabora hadi Kigoma

Kadogosa amesema "Tumenunua Mabehewa 59, ambapo Mabehewa 14 mapya tayari yameingia Nchini. Kuna Mabehewa 30 na Vichwa Viwili 'Used' vitaingia kati ya Machi na Aprili 2023

Ameongeza kuwa kulikuwa na matatizo na Msambazaji wa kwanza kutoka Uturuki na Shirika lilivunja Mkataba naye baada ya kushauriana Serikalini na kumpa Msambazaji mwingine wa Ujerumani kwa ajili ya kumalizia kazi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad