BBC Waomba Radhi Kuhusu Sauti za Ngono Kusikika Wakati wa Matangazo ya Michezo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirika la Utangazaji la Uingereza(BBC) limeomba radhi baada ya kelele za ngono kusikika wakati wa matangazo ya michuano Kombe la FA. Sauti hizo zilisikika wakati mchanganuzi wa soka Gary Lineker alikuwa akichambua mechi ya marudiano ya raundi ya tatu kati ya Wolves na Liverpool siku ya Jumanne, Januari 17.


Lineker hata hivyo, alijaribu kupuuza kelele hizo wakati wa kipindi hicho kilichopeperushwa mubashara kwenye Uwanja wa Molineux. “Tunaomba radhi kwa watazamaji wote walioudhika wakati wa matangazo ya moja kwa moja ya kandanda jioni hii.” BBC ilisema katika taarifa kupitia kwa msemaji wake ikiongeza kuwa tukio hilo linachunguzwa. Baadaye Lineker alichapisha picha ya simu ya rununu kwenye mtandao wa kijamii akisema ilirekodiwa nyuma ya seti.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad