Vipipi Utamu Vinavyotumiwa na Wanawake Kubana Maumbile ya Siri Vimepigwa Marufuku Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) imemzuia Mfanyabiashara Maryam Shaaban Laurent kutoendelea kufanya biashara ya kuuza bidhaa za Lump Sugar maarufu ‘vipipi’ vinavyodaiwa kutumiwa na Wanawake kujiweka sehemu za siri ili kupata mvuto na kubana maumbile yao.

Katika taarifa yake kwa Vyombo vya Habari, ZFDA imetoa tahadhari ya kutotumika kwa vipipi hivyo huku ikiendelea kufanya msako wa kuviondoa sokoni.

Mkuu wa Divisheni na Vipodozi ZFDA Salim Hamad Kassim amesema wanazichukua sampuli za bidhaa hiyo na kuzipeleka Maabara ili kujiridhisha huku akisema sababu nyingine ya hatari iliyopo kwenye bidhaa hiyo ni kuwa haina lebo, haina ujazo wala ‘expire date’ na vilevile haijulikani imetoka wapi

Mfanyabishara Maryam alipohojiwa ili kuelezea ‘vipipi’ hivyo amesema amekuwa akiviuza kwa njia ya mtandao ——— “Wateja wote nilikuwa najihakikishia kuwa hiki kitu hakina madhara ni cha asili ndicho kilichonitia moyo kufanya hiyo biashara na sitofanya tena hadi vikibainika havina madhara”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad