Yanga Imeingia Mkataba na Kampuni ya vifaa vya umeme ya Haier Kuwa Mdhamini Mkuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Club ya Yanga SC imeingia
mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya Haier kuwa Mdhamini Mkuu wa Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2023.

Mkataba huo utaipa Yanga Tsh Bilioni 1.5 na Haier watakaa katika jezi za Yanga kifuani badala ya SportPesa.

Yanga wamelazimika kumuondoa SportPesa kwa sababu Shirikisho la Soka Afrika CAF haliruhusu timu kuwa na Mdhamini ambaye ni Mshindani wa Mdhamini wa Mashindano ya CAF (1xbet).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad