Ticker

6/recent/ticker-posts

Matokeo ya Form Four Mwaka 2022 Yametoka Rasmi, Yasome Hapa Nimekuwekea Shule Zote

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA

 
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nneyaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022, Tanzania Bara na Visiwani.


Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne yaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022, Tanzania Bara na Visiwani.


Matokeo hayo yametangazwa leo Jumapili, Januari 29, 2023, makao makuu ya Necta jijini Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Athumani Amasi.


Angalia hapa matokeo ya kidato cha nne 2022

Post a Comment

0 Comments