Diamond atangaza kuachia wimbo mpya baada ya mapokezi makubwa ya Yatapita na Zuweza

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa


Rais wa WCB amesema wimbo mpya upo njiani kwani mapokezi ya nyimbo zake mbili Yatapita na Zuwena yamemshangaza.


Yatapita kupitia mtandao wa YouTube imeangaliwa mara Milioni 8. 3 huku Zuwena ikiangaliwa mara Milioni 5 ndani ya siku tano.


Baada ya mapokezi hayo mazuri, muimbaji huyo ambaye alitangaza balaa mwaka huu ametoa taarifa hii .


“Inahitaji Nguvu, Baraka, Upendo mkubwa na

Sapport kubwa toka kwa watu, Kutoa wimbo na

kukaa siku tatu haujapost chochote kwenye Page

yako mbele, No Machallenge wala chochote mbele kupush wimbo, Halaf kila siku wimbo ukazidi kuendelea kufanya Vyema….. Hakika Mashabiki zangu mnanipa faraja, nyinyi ni zaidi ya Mashabiki kwangu, Nyinyi ni Familia Yangu, na Nawashkuru kwa kila Support, Upendo na jema mlitendalo kwangu Vyote Naviona na Niwaambie Huu Mwaka Ni vyuma juu ya Nondo! #SwahiliNation

#Wasafi,” aliandika Diamond

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad