AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyuma kidogo star wa muziki na C.E.O wa NextLevelMusic @rayvanny alitangaza kupoteza pete yake kwenye show yake ya Mbagala
Leo star huyo ameshare video ya shabiki ambae aliiokota pete hiyo na kuamua kufika ofisini kwake kumrudishia
Umewahi dondosha nini na ukarudishiwa na raia wema?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK