Taarifa za Kuokolewa Kwa Mchezaji Atsu Kutoka Kwenye Kifusi Uturuki Zaichanganya Ghana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya taarifa za kuwa Christian Atsu ameokolewa kutoka kwenye kifusi, Balozi wa Ghana nchini Uturuki sambamba na Viongozi wa timu yake wamemsaka kila hospital na hakuna iliyompokea wala jina lake halipo kwenye orodha ya manusura.

Taarifa zinadai kuwa Atsu sambamba na Mkurugenzi wake bado wapo chini ya kifusi na harakati za uokoaji unaendelea.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad