Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Baada ya taarifa za kuwa Christian Atsu ameokolewa kutoka kwenye kifusi, Balozi wa Ghana nchini Uturuki sambamba na Viongozi wa timu yake wamemsaka kila hospital na hakuna iliyompokea wala jina lake halipo kwenye orodha ya manusura.
Taarifa zinadai kuwa Atsu sambamba na Mkurugenzi wake bado wapo chini ya kifusi na harakati za uokoaji unaendelea.
0 Comments