AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya taarifa za kuwa Christian Atsu ameokolewa kutoka kwenye kifusi, Balozi wa Ghana nchini Uturuki sambamba na Viongozi wa timu yake wamemsaka kila hospital na hakuna iliyompokea wala jina lake halipo kwenye orodha ya manusura.
Taarifa zinadai kuwa Atsu sambamba na Mkurugenzi wake bado wapo chini ya kifusi na harakati za uokoaji unaendelea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK