TETESI: Beki la CHAN laomba kusepa Yanga

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 




Beki Raia wa Mali Mamadou Doumbia anatajwa kuwa ameomba kuondoka katika klabu ya Yanga baada kuona ameshindwa kupata nafasi katika kikosi hicho kinachonolewa na Mtunisia Nasreddine Nabi.


Kumbe kitendo cha kukalishwa benchi, kinamuuma beki mpya wa Yanga, Mamadou Doumbia na sasa beki huyo inaelezwa amepanga kutuma maombi ya kutaka kuvunjwa mkataba ili aende sehemu ambayo itamfanya acheze kama ilivyokuwa kabla ya kutua Yanga.


Doumbia amejiunga na Yanga akitokea klabu ya Stade Malien ya nchini Mali Januari mwaka huu

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad