Beyonce na Adidas Biashara Imevunjika Baada ya Kupata Hasara Kubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Beyonce na Adidas wamefikia makubaliano ya kumaliza ushirikiano wao Kibiashara kufuatia kutofanya vizuri kwa bidhaa za Mwanamuziki huyo sokoni. Ripoti ya mauzo ya mwaka jana inaonesha Adidas waliitazama ‘Ivy Park Clothing’ kuingiza kiasi cha ($250 million) kwa mwaka 2022 lakini bidhaa hizo ziliangukia pua na kuingiza ($40 million) pekee.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad