HATIMAYE Kocha Zoran Maki Afunguka Kilichomuondoa Simba SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC Zoran Maki amefunguka kwa mara ya kwanza kilichosababisha kuondoka klabuni hapo, mwezi mmoja baada ya kuanza kazi.

Zoran Maki aliondoka Simba SC, Septemba 2022 akiiongoza timu hiyo katika michezo mitatu ya Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Young Africans.

Akihojiwa nchini Misri anakofanya kazi akiwa na klabu ya Al Ittihad, Kocha huyo kutoka nchini Serbia amesema alilazimika kuondoka Simba SC, kufuatia ofa nzuri aliyoipata.

Maki amesema mbali na ofa hiyo, pia ukubwa wa soka la la nchini Misri ulimvutia kukubali kirahisi kwa kuvunja mkataba wake na Simba SC.

“Najua Ukubwa wa soka la Misri na ndiyo maana ofa ilipotoka kwa Al Ittihad, mara moja nilisema ndiyo na kuikataa Simba SC na kuja hapa.” amesema Zoran Maki

Kabla kutua Simba SC kocha Zoran Maki aliwahi kuvinoa vikosi vya klabu za Primeiro de Agosto (2017–2019), Wydad AC (2019–2020), Al-Hilal Club (2020–2021) , CR Belouizdad (2021) na Al-Tai (2021) .

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad