Jack Cliff Afunguka Kuhusu Dawa za Kulevya Alizokutwa Nazo Airport "Rafiki Aliniponza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Nakumbuka nilikuwa nimeenda Thailand kwenye mambo yangu na kipindi hicho nilikuwa nina maduka yangu ya vipodozi hivyo nilivyofika kule rafiki zangu wa Macao waliniita.

Rafiki yangu aliniambia nionane na mtu wake ambaye alikuwa Thailand na atanipa mzigo nimpelekee Macao nami nilifanya hivyo kumbe mzigo ambao alinipa ulikuwa ndani yake una madawa ya kulevya bila mimi kujua” @ms.jackiecliff
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad