Kocha Nabi Atoa Msimamo Wake Sakata la Mechezaji Fei Toto

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Mechezaji Fei Toto


Baada ya kumkosa Kiungo wake kwa muda sasa, Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa neno kwenda kwa kiungo huyo aliekuwa mhimili muhimu ndani ya kikosi cha Yanga.


Akizungumza Nabi juu ya mustakabali wa Fesal Salum ambae amefanya nae kazi kwa misimu zaidi ya miwili nabi amesema


“Feisal Salum ni kama mwanangu, napenda arejee Yanga SC na majukumu yake ya kawaida. Nikipewa nafasi ya kumshauri ningemshauri arudi hapa. Nitampokea kwa mikono miwili. Kama anaona hakuna haja ya kurejea basi namtakia kila la kheri kwenye safari yake”


Feisal anapambana katika mamlaka za soka nchini ili kuvunja Mkataba wake na Klabu ya Yanga.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad