AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kumkosa Kiungo wake kwa muda sasa, Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa neno kwenda kwa kiungo huyo aliekuwa mhimili muhimu ndani ya kikosi cha Yanga.
Akizungumza Nabi juu ya mustakabali wa Fesal Salum ambae amefanya nae kazi kwa misimu zaidi ya miwili nabi amesema
“Feisal Salum ni kama mwanangu, napenda arejee Yanga SC na majukumu yake ya kawaida. Nikipewa nafasi ya kumshauri ningemshauri arudi hapa. Nitampokea kwa mikono miwili. Kama anaona hakuna haja ya kurejea basi namtakia kila la kheri kwenye safari yake”
Feisal anapambana katika mamlaka za soka nchini ili kuvunja Mkataba wake na Klabu ya Yanga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK