Mamba ‘Watoa Roho za Watu’ wauawa Ziwa Victoria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Buchosa. Mamba wawili waosadikiwa kushambulia watu Ziwa Victoria wameuawa katika Kata ya Nyakasasa Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza.

Zoezi la kuwanasa mamba hao limeendeshwa na maofisa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (Tawiri) iliyoko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.

Mamba hao ambao wamenaswa leo Ijumaa Machi 17, 2023 na hivi karibuni walimshambulia mtu mmoja kisha kupoteza maisha kwenye Kijiji cha lugata kisiwani Kome.

Zoezi la kuwaua mamba hao linaongozwa ofisa kutoka maofisa wa Tawiri, Mohamed Mpoto amesema baada ya kusikia kilio cha wananchi wa Buchosa wamepiga kambi Kisiwa cha Kome kuwavuna mamba hao sambamba na kutoa elimu kwa wananchi.

Baadhi ya wananchi wa Kisiwa cha Kome wamepongeza hauta ya Serikali kutumia ya maofisa wanyapori kuvuna mamba hao ambao walikuwa ni kero kwa wananchi.

Endelea kufuatia mitandao ya kijamii ya Mwananchi kwa habari zaidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad